UN yasema Jawabu la maandamano ya kila kona duniani ni kuziba pengo la usawa.
Pakua
Ripoti ya maendeleo ya binadamu iliyozinduliwa leo na Umoja wa Mataifa inasema suala la kuchukulia kila hali kuwa mazoea haliwezi kutatua changamoto za kizazi hiki kilichoghubikwa na pengo la usawa.
Audio Credit
UN News/Jason Nyakundi
Audio Duration
3'9"