Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN yasema Jawabu la maandamano ya kila kona duniani ni kuziba pengo la usawa.

UN yasema Jawabu la maandamano ya kila kona duniani ni kuziba pengo la usawa.

Pakua

Ripoti ya maendeleo ya binadamu iliyozinduliwa leo na Umoja wa Mataifa inasema suala la kuchukulia kila hali kuwa mazoea haliwezi kutatua changamoto za kizazi hiki kilichoghubikwa na pengo la usawa. 

Audio Credit
UN News/Jason Nyakundi
Audio Duration
3'9"
Photo Credit
Warren Bright/UNFPA Tanzania