Brazil yapewa heko na UNHCR kwa kuridhia ombi la ukimbizi la wavenezuela 6 Disemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR limekaribisha uamuzi wa Brazil wa kutambua maelfu ya wasaka hifadhi kutoka Venezuela kama wakimbizi, hali inayoashiria kuwa wanaweza kukubaliwa maombi yao ya ukimbizi nchini humo. Audio Credit Assumpta Massoi Audio Duration 2'19" Photo Credit © UNHCR/Santiago Escobar-Jarami Venezuela brazil Babar Baloch