Kulikoni Doreen Moraa Moracha anasema yeye ni simulizi ya kupendeza?
Pakua
Kuelekea siku ya UKIMWI duniani tarehe Mosi mwezi ujao wa Desemba, Doreen Moraa Moracha, msichana kutoka Kenya ambaye anaishi na virusi vya UKIMWI amekuwa changamoto kubwa katika kumaliza unyanyapaa dhidi ya watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi au VVU. Doreen amekuwa akifanya hivyo kupitia mitandao ya kijamii na kubwa zaidi katika mahojiano yake na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa, UN NEWS Kiswahili anajiita yeye ni simulizi ya kupendeza, kulikoni?
Audio Credit
Anold Kayanda/Flora Nducha/Doreen Moraa Moracha
Sauti
5'43"