Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN yasema jamii ina mchango mkubwa katika vita dhidi ya UKIMWI

UN yasema jamii ina mchango mkubwa katika vita dhidi ya UKIMWI

Pakua

Umoja wa Mataifa umesema jamii ikiwa ni pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali, asasi za kiraia na wanaharakati wana mchango mkubwa katika vita dhidi ya UKIMWI. 

Audio Credit
Jason Nyakundi
Audio Duration
2'23"
Photo Credit
UN/maktaba