Ghasia Beni zasababisha WFP kusitisha kwa muda mgao wa msaada
Pakua
Shirika la mpango wa chakula duniani, WFP limesitisha kwa muda usambazaji wa misaada ya kibinadamu huko Beni, jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kutokana na mashambulizi yaliyoripotiwa kwenye maeneo yenye mlipuko wa Ebola.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
1'38"