Ushika wa AU na FAo utamkomboa mwanamke wa Afrika:Sacko 27 Novemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Muungano wa Afrika AU na shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO wamesema wanaimarisha ushirikiano wao ili kuhakikisha uchumi wa kilimo barani Afrika unaleta tija kwa mamilioni ya watu wa bara hilo. Audio Credit UN News/Arnold Kayanda Audio Duration 1'45" Photo Credit ©FAO/Olivier Asselin FAO kilimo wanawake afrika AU Yoseffa Leonel Correia Sacko Qy Dongyu