Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mradi wa UN Women wa M4C waleta neema kwa wanawake Pasifiki

Mradi wa UN Women wa M4C waleta neema kwa wanawake Pasifiki

Pakua

Katika visiwa vya Pacifiki kati ya asilimia 75 hadi 90 ya wachuuzi sokoni ni wanawake na kwa kutambua umuhimu wao na mchango wao katika jamii  shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya wanawake UN Women liliamua kuanzisha mradi wa masoko kwa kwa ajili ya mabadiliko au M4C kwa ajili ya kuwawezesha wanawake hao na familia zao. 

Audio Credit
UN News/Jason Nyakundi
Audio Duration
2'27"
Photo Credit
Photo: FAO/Carl de Souza