Jamii inasemaje kuhusu mkataba wa kimataifa wa haki za mtoto?
Pakua
Makala ya leo imejikita na mkataba wa haki za mtoto duniani uliopitishwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa miaka 30 iliyopita ukisimamia nguzo kuu nne ambazo ni haki ya kutobaguliwa, kuhakikisha mahitaji yake yanatimizwa, haki ya kuishi na kuendelezwa na haki ya kusikilizwa. Na je tangu kupitishwa kwa mkataba huo, jamii, wazazi na watoto wenyewe wanauelewaje mkataba huo? Na una maana gani kwao? Ungana na Flora Nducha
Audio Credit
Arnold Kayanda/Flora Nducha
Audio Duration
5'53"