Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Dhana niliyokuwa nayo kuhusu China ni tofauti na hali halisi-Mwalimu Gichana

Dhana niliyokuwa nayo kuhusu China ni tofauti na hali halisi-Mwalimu Gichana

Pakua

Kwa kawaida taarifa kuhusu eneo au nchi hususan kupitia vyombo vya habari vinatoa taswira moja kuhusu eneo au nchi na wakati mwingine pia kuhusu watu wanoishi sehemu tajwa. Lakini mara nyingi inakuwa hiyo sio hali halisi. Na kwa mgeni wetu kwa makala ya leo, mwalimu Joseph Gichana mzaliwa wa Kenya taswira aliyokuwa nayo kuhusu China ni tofauti na hali aliyoshuhudia nchini humo ambako anafanya kazi na kuishi na familia yake. Kulikoni? Ungana na Flora Nducha na mwalimu Gichana akizungumzia maisha ughaibuni.

Audio Credit
Brenda Mbaitsa/Frola Nducha/Joseph Gichana
Audio Duration
3'50"
Photo Credit
UN News/Grece Kaneiya