Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nchi maskini zaidi elekezeni fedha za misaada kwenye mipango ya maendeleo- UN

Nchi maskini zaidi elekezeni fedha za misaada kwenye mipango ya maendeleo- UN

Pakua

Umoja wa Mataifa  umesema kuwa mataifa maskini zaidi duniani yanapaswa kuhakikisha kuwa fedha za misaada kutoka nje zinaelekezwa katika vipaumbele vya kitaifa vya maendeleo.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
2'1"
Photo Credit
UNnewskiswahili/Patrick Newman