Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Zaidi ya watu milioni 2.4 wanahitaji msaada wa chakula ukanda wa Sahel ya Kati

Zaidi ya watu milioni 2.4 wanahitaji msaada wa chakula ukanda wa Sahel ya Kati

Pakua

Shirika la mpango wa chakula duniani, WFP leo limeonya kwamba dunia bado haijaelewa upana wa janga la kibinadamu linaloshuhidiwa ukanda wa Sahel ya kati ikijumuisha Burkina Faso, Mali na Niger.

Audio Credit
Brenda Mbaitsa
Audio Duration
2'27"
Photo Credit
WFP/Sébastien Rieussec