Skip to main content

Malengo ya afya Afrika kupigwa jeki na ubia mpya baina ya WHO na AU

Malengo ya afya Afrika kupigwa jeki na ubia mpya baina ya WHO na AU

Pakua

Shirika la afya ulimwenguni, WHO na muungano wa Afrika, AU wametia saini mkataba wa makubaliano ya dhamira yao ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano katika kutimiza malengo muhimu ya afya.

Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Sauti
1'38"
Photo Credit
WHO CE.Onuekwe