Kasi ya kiwango cha uzalishaji haiendani na uzalishaji Afrika Mashariki
Pakua
Ajira milioni 8 zinahitajika kila mwaka katika ukanda wa Afrika Mashariki, ukanda ambao unaelezwa kuwa kasi ya ukuaji wa uchumi ni kubwa mno kuliko kanda nyingine barani Afrika.
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Prisiclla Lecomte/ Vincent Lenyaro
Audio Duration
4'22"