Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mradi wa mpunga wa FAO wabadili masiha ikiwemo ya vijana

Mradi wa mpunga wa FAO wabadili masiha ikiwemo ya vijana

Pakua

Mradi wa Shirika la chakula na kilimo duniani, FAO nchini Tanzania wa kutoa mafunzo na kuwezesha vijana na watu wazima kuimarisha kilimo na zao la mpunga umezaa matunda. 

Audio Credit
Flora nducha/ Grace Kaneiya
Audio Duration
2'56"
Photo Credit
Photo: FAO/Olivier Thuillier