Mradi wa mpunga wa FAO wabadili masiha ikiwemo ya vijana 1 Novemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Mradi wa Shirika la chakula na kilimo duniani, FAO nchini Tanzania wa kutoa mafunzo na kuwezesha vijana na watu wazima kuimarisha kilimo na zao la mpunga umezaa matunda. Audio Credit Flora nducha/ Grace Kaneiya Audio Duration 2'56" Photo Credit Photo: FAO/Olivier Thuillier FAO Tanzania