Neno la Wiki - Ulaiti
Pakua
Katika Neno la Wiki hii leo tunamulika neno Ulaiti na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Na katika uchambuzi wake anasema neno hili linamaanisha aina fulani ya kitambaa. Fuatana naye kufahamu zaidi.
Audio Credit
FLORA NDUCHA/ONNI SIGALLA
Audio Duration
59"