WHO yatoa mwongozo wa kudhibiti magonjwa yasiyo ya kuambukiza mijini 31 Oktoba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la afya ulimwenguni, WHO limetoa mwongozo na mbinu za kuwezesha viongozi kwenye maeneo ya majiji kuweza kukabiliana na visababishi vikuu vya vifo kwenye maeneo hayo. Audio Credit Grace Kaneiya Audio Duration 2'45" Photo Credit Sebastian Liste/NOOR Siku za UN Miji WHO NCDs