Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO yatoa mwongozo wa kudhibiti magonjwa yasiyo ya kuambukiza mijini

WHO yatoa mwongozo wa kudhibiti magonjwa yasiyo ya kuambukiza mijini

Pakua

Shirika la afya ulimwenguni, WHO limetoa mwongozo na mbinu za kuwezesha viongozi kwenye maeneo ya majiji kuweza kukabiliana na visababishi vikuu vya vifo kwenye maeneo hayo.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
2'45"
Photo Credit
Sebastian Liste/NOOR