Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Janga la njaa lanyemelea wakazi milioni 45 ukanda wa SADC

Janga la njaa lanyemelea wakazi milioni 45 ukanda wa SADC

Pakua

Madhara ya mabadiliko ya tabianchi yakizidi kushika kasi, mashirika ya Umoja wa Mataifa yametaka usaidizi zaidi kwa watu milioni 45 walioko kwenye mataifa 16 wanachama wa jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Afrika, SADC kwa kuwa watakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula katika kipindi cha miezi sita ijayo.

Audio Credit
Amina Hassan
Audio Duration
1'59"
Photo Credit
WFP/Tatenda Macheka