Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tukiwainua walezi, tunaiinua familia nzima-Mary Mafwimbo

Tukiwainua walezi, tunaiinua familia nzima-Mary Mafwimbo

Pakua

Na punde ni makala ambapo leo tunaelekea Tanzania kusikia harakati za msichana ambaye ameanzisha ‘shirika la kiraia la kuhudumia wanawake, wazee na watoto huko mkoani Morogoro.

Na sasa ni wakati wa makala ambapo John Kabambala wa radio washirika Kids Time FM ya Morogoro  nchini Tanzania anaangazia shughuli za shirika lisilo la kiserikali  la Morogoro  organization for women aid and child support MOWACS katika kusaidia wanawake wazee na watoto. Msichana Mary Mafwimbo aliyelianzisha shirika hilo anaanza kwa kueleza lengo lake kuu.

Shukrani John Kabambala na Mary Mafwimbo kwa Makala hii

Audio Credit
Brenda Mbaitsa/John Kabambala
Audio Duration
3'7"
Photo Credit
UN Photo/Sophia Paris