Tukiwainua walezi, tunaiinua familia nzima-Mary Mafwimbo
Pakua
Na punde ni makala ambapo leo tunaelekea Tanzania kusikia harakati za msichana ambaye ameanzisha ‘shirika la kiraia la kuhudumia wanawake, wazee na watoto huko mkoani Morogoro.
Na sasa ni wakati wa makala ambapo John Kabambala wa radio washirika Kids Time FM ya Morogoro nchini Tanzania anaangazia shughuli za shirika lisilo la kiserikali la Morogoro organization for women aid and child support MOWACS katika kusaidia wanawake wazee na watoto. Msichana Mary Mafwimbo aliyelianzisha shirika hilo anaanza kwa kueleza lengo lake kuu.
Shukrani John Kabambala na Mary Mafwimbo kwa Makala hii
Audio Credit
Brenda Mbaitsa/John Kabambala
Audio Duration
3'7"