Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mcheza kwao hutuzwa, mtu wa mwaka UN Kenya ni mwalimu Tabichi

Mcheza kwao hutuzwa, mtu wa mwaka UN Kenya ni mwalimu Tabichi

Pakua

Mwalimu Peter Tabichi ambaye amepata umaarufu mkubwa  baada ya kutunukiwa tuzo ya mwalimu bora duniani mwaka 2019 , sasa ameibuka kidedea tena na kuwa mshindi wa tuzo ya mtu bora kwa Umoja wa Mataifa nchini Kenya mwaka huu. Tuzo ambayo hutolewa nchini humo kwa mtu ambaye ameleta mabadiliko chanya katika jamii yake.

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Peter Tabichi
Sauti
3'12"
Photo Credit
UN News/Grece Kaneiya