Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wakimbizi wakaribisha mradi wa WFP kuimarisha “lishe”, Uganda

Wakimbizi wakaribisha mradi wa WFP kuimarisha “lishe”, Uganda

Pakua

Jamii za wakimbizi kote duniani hukabiliwa na changamoto za upatikanaji wa lishe na uhakika wa chakula kutokana na ukata wa ufadhili na kutokuwa na ardhi ya kutosha ili kujishughulisha na kilimo. Hii mara nyingi husababisha watoto kudumaa na kusalia katika hatari ya kuungwa magonjwa mbalimbali.

Katika juhudi za kushughulikia chagamoto hizo, shirka la mpango wa chakula duniani (WFP), linatekeleza mradi wa ushirikiashaiji wa wakimbizi ambapo wanatumia kipande kidogo cha ardhi kupata lishe amabao umekaribishwa na wakimbizi.

Je, kulikoni? Ungana na John Kibego katika makala ifuatayo.

(Makala ya John Kibego)

Soundcloud

 

Audio Credit
Brenda Mbaitsa/ John Kibego
Audio Duration
3'45"
Photo Credit
UN News/ John Kibego