Tunaushukuru Umoja wa Mataifa kwa kutuwezesha Tanzania:Wananchi
Pakua
Kwa miaka 74 Umoja wa Mataifa umekuwa na mchango mkubwa kote duniani katika njanja mbalimbali ikiwemo kudumisha amani, maendeleo na hata msaada kwa walio na uhitaji mkubwa. Na je walengwa wa Umoja wa Mataifa ndivyo wanavyohisi kuhusu Umoja huo? tuwasikilze wananchi hawa kutoka Tanzania.
(SAUTI YA ENESTAMWENDA NA HAPPINESS HAULE)
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Enesta Mwenda/ Happiness Haule
Audio Duration
2'10"