Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mchango wa wanawake katika amani Somalia ni muhimu:UN

Mchango wa wanawake katika amani Somalia ni muhimu:UN

Pakua

Ukiwa ziarani kwenye mji mkuu wa Somalia, Mogadishi hii leo, ujumbe wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika, AU, umekaribisha mafanikio yaliyopatikana kwenye taifa hilo la pembe ya Afrika katika ushiriki wa wanawake kwenye masuala ya amani, usalama na maendeleo huku ukitoa wito wa kutaka mafanikio zaidi. 

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
2'41"
Photo Credit
IISD/ENB