Tanzania tumeazimia kuzipa kipaumbele takwimu-Dkt Akbina Chuwa
Pakua
Wakati siku ya kimataifa ya takwimu imeadhimishwa tarehe 20 Oktoba mwaka huu, Tanzania inaungana na nchi nyingine kuhakikisha inazipa kipaumbele takwimu katika kupanga maendeleo ya wananchi kwenye juhudi za kuelekea kufanikisha maendeleo endelevu.
Audio Credit
Flora Nducha/Albina Chuwa
Audio Duration
1'56"