Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tanzania tumeazimia kuzipa kipaumbele takwimu-Dkt Akbina Chuwa

Tanzania tumeazimia kuzipa kipaumbele takwimu-Dkt Akbina Chuwa

Pakua

Wakati siku ya kimataifa ya takwimu imeadhimishwa tarehe 20 Oktoba mwaka  huu, Tanzania inaungana na nchi nyingine kuhakikisha inazipa kipaumbele takwimu katika kupanga maendeleo ya wananchi kwenye juhudi za kuelekea kufanikisha maendeleo endelevu.

Audio Credit
Flora Nducha/Albina Chuwa
Audio Duration
1'56"
Photo Credit
UN/Patrick Newman