Mabadiliko ya tabianchi yanaathiri mazao ya asili
Pakua
Wakati wa maadhimisho ya chakula duniani tarehe 16 mwezi huu wa Oktoba, suala la lishe bora liliangaziwa na zaidi ya yote nafasi ya vyakula asili. Hata hivyo mabadiliko ya tabianchi yameleta tafrashi katika baadhi ya maeneo ikiwemo Kagera nchini Tanzania ambako mazao ya asili yametoweka. Je hali iko vipi? Ungana basi na Nicolaus Ngaiza wa radio washirika Kasibante FM kwa ufafanuzi zaidi.
Audio Credit
Flora Nducha/ Nicholas Ngaiza
Audio Duration
8'31"