Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanafunzi wa kike huko Morogoro na ndoto zao kwa siku za usoni

Wanafunzi wa kike huko Morogoro na ndoto zao kwa siku za usoni

Pakua

Upatikanaji wa elimu kwa wote bado ni lengo ambalo halijafanikiwa kwa asilimia mia kwa mia kutokana na sababu mbali mbali ambazo zinakwamisha upatikanaji wa haki hiyo. Kwa upande wa mtoto wa kike, upatikanaji wa elimu unakwamishwa na mambo mbali mbali iikiwemo, ndoa za mapema, ukeketaji, mimba za utotoni na hata ukosefu wa vifaa vya kujistiri wakati wa hedhi lakini pale ambapo wasichana wanapata nafasi ya kuhuduria shule uwezo wao ni mkubwa vile vile ndoto zao. Hali hiyo inadhihirika katika makala ifauatayo ya John Kabambala wa radio washirika Kids Time FM ya Morogoro, ungana naye.

 

Soundcloud
Audio Credit
Brenda Mbaitsa/ John Kabambala
Audio Duration
3'12"
Photo Credit
UN/maktaba