Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR yaahidi kushugulikia kilio chao Afrika Kusini

UNHCR yaahidi kushugulikia kilio chao Afrika Kusini

Pakua

Akihitimisha ziara yake ya siku mbili nchini Afrika Kusini, Kamishna Mkuu wa  shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR Filippo Grandi, ameelezea utayari wa shirika hilo kuendelea kusaidia serikali katika kuhakikisha ulinzi kwa wakimbizi na wasaka hifadhi nchini humo.

Audio Credit
Assumpta Massoi/ Flora Nducha
Audio Duration
2'31"
Photo Credit
World Bank/Samson