Watu wengi zaidi walipata tiba dhidi ya TB mwaka 2018-WHO 17 Oktoba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Ripoti mpya ya shirika la afya duniani, WHO, imesema kuwa watu wengi zaidi walipata tiba dhidi ya ugonjwa wa Kifua Kikuu, TB, mwaka 2018 kuliko wakati wowote ule kutokana na kuimarika kwa mbinu za utambuzi wa ugonjwa huo. Audio Credit Assumpta Massoi/ Grace Kaneiya Audio Duration 2'14" Photo Credit UN News/Daniel Dickinson Kifua Kikuu tb WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus