Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mradi wa FAO wawezesha wanafunzi kuwezesha jamii Tanzania

Mradi wa FAO wawezesha wanafunzi kuwezesha jamii Tanzania

Pakua

Kutokomeza umasikini uliokithiri ni kitovu cha juhudi za dunia kufikia malengo ya maendeleo endelevu, SDGs na kujenga mustakabali endelevu kwa watu wote lakini mafanikio ya kutomwacha yeyote nyuma hayatapatikana iwapo watu walioachwa nyuma zaidi hawatalengwa kwanza. 

Audio Credit
Assumpta Massoi/ John Kibego
Audio Duration
2'
Photo Credit
NOOR for FAO/Sebastian Liste