Idadi kubwa ya watoto wanateseka kutokana na lishe duni duniani
Pakua
Idadi kubwa ya watoto wanateseka kutokana na lishe duni na mifumo ya chakula ambayo inawadumaza, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF katika ripoti kuhusu hali ya watoto duniani kwa mwaka huu wa 2019 ikiangazia zaidi watoto, chakula na lishe.
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Grace Kaneiya
Audio Duration
2'31"