Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kebehi, matusi, makaripio vyakumba wajawazito wakati wa kujifungua, unasema utafiti wa WHO

Kebehi, matusi, makaripio vyakumba wajawazito wakati wa kujifungua, unasema utafiti wa WHO

Pakua

Utafiti mpya wa Shirika la afya ulimwenguni, WHO, unaonesha kwamba theluthi moja ya wanawake katika nchini 4 za kipato cha chini wameripoti kukumbwa na mateso wakati wa kujifungua.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
1'39"
Photo Credit
UN