Kebehi, matusi, makaripio vyakumba wajawazito wakati wa kujifungua, unasema utafiti wa WHO 9 Oktoba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Utafiti mpya wa Shirika la afya ulimwenguni, WHO, unaonesha kwamba theluthi moja ya wanawake katika nchini 4 za kipato cha chini wameripoti kukumbwa na mateso wakati wa kujifungua. Audio Credit Grace Kaneiya Audio Duration 1'39" Photo Credit UN WHO mama na mtoto wajawazito Ukatili dhidi ya wajawazito