Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Upofu unaokabili watu bilioni 1 ungaliweza kuepukwa iwapo wangalipata tiba yasema WHO

Upofu unaokabili watu bilioni 1 ungaliweza kuepukwa iwapo wangalipata tiba yasema WHO

Pakua

Takribani watu bilioni 2.2 duniani kote wana uoni hafifu au upofu, kutokana na ukosefu wa huduma bora za afya, limesema shirika la afya duniani hii leo katika ripoti yake ya kwanza kuhusu hali ya uoni duniani.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
2'50"
Photo Credit
WHO/J. D. Kannah