MINUSCA ni mkombozi mkubwa kwa wakimbizi CAR 7 Oktoba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kuweka utulivu nchini humo, MINUSCA, umechukua hatua kuimarisha ulinzi kwa wakimbizi wa ndani waliofurushwa makwao kufuatia mapigano ya mwezi uliopita. Audio Credit UN News/ Assumpta Massoi Sauti 1'40" Photo Credit MINUSCA/Hervé Serefio