Sitachoka kuelimisha viongozi wa kesho popote nilipo:Mwalimu Reath
Pakua
Ualimu ukiwa ni wito wako popote utafundisha , hiyo ni kauli ya mkimbizi kutoka Sudan Kusini ambaye pia ni mwalimu kwa sasa yuko ukimbizini nchini Ethiopia anakoendeleza wito wake wa ualimu kwa watoto wakimbizi. Amina Hassan na taarifa zaidi
Audio Credit
UN News/Amina Hassan
Audio Duration
2'14"