Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Sitachoka kuelimisha viongozi wa kesho popote nilipo:Mwalimu Reath

Sitachoka kuelimisha viongozi wa kesho popote nilipo:Mwalimu Reath

Pakua

Ualimu ukiwa ni wito wako popote utafundisha , hiyo ni kauli ya mkimbizi kutoka Sudan Kusini ambaye pia ni mwalimu kwa sasa yuko ukimbizini nchini Ethiopia anakoendeleza wito wake wa ualimu kwa watoto wakimbizi. Amina Hassan na taarifa zaidi

Audio Credit
UN News/Amina Hassan
Audio Duration
2'14"
Photo Credit
UNICEF/Frank Dejo