Bila mwalumu SDG4 haitafikiwa- Mwalimu Tabichi
Pakua
Kuelekea siku ya walimu duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka Oktoba 5, Umoja wa Mataifa katika ujumbe wa pamoja wa mashirika yake umesema wakati dunia ikisherehekea siku ya walimu kuna pengo la walimu milioni 69 wanaohitajika katika kufikia lengo namba nne la malengo ya maendeleo endelevu , SDGs licha ya umuhimu wao katika kufanikisha lengo hilo.
Audio Credit
Arnold Kayanda/ Peter Tabichi
Audio Duration
2'30"