UN yatangaza mgonjwa wa 1000 wa ugonjwa wa ebola kupona, lakini kazi bado ipo 4 Oktoba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Wakati manusura wa 1000 wa ugonjwa Ebola ameruhusiwa kwenda nyumbani leo mashirika ya Umoja wa Mataifa yanafanya kila liwezekanalo kuzuia mlipuko unaoendelea wa ugonjwa huo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC. Audio Credit Arnold Kayanda/ Flora Nducha Audio Duration 3'8" Photo Credit UNICEF/Martine Perret