Ukame wasukuma wasomali kukimbia kusaka hifadhi Ethiopia 3 Oktoba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Hali mbaya ya ukame na usalama nchini Somalia imewalazimu maelfu wa watu kuendelea kufungasha virago tena na kukimbia nchi jirani ya Ethiopia kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR. Audio Credit Assumpta Massoi/ Arnold Kayanda Audio Duration 1'52" Photo Credit WFP/Jiro Ose Somalia Ethiopia Ukame usalama wakimbizi UNHCR