WHO, UNICEF, serikali ya DRC mbioni kukabiliana na janga la surua 1 Oktoba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la afya ulimwenguni, WHO na wadau wamezindua kampeni ya dharura nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC kwa ajili ya kukabiliana na mlipuko mkubwa wa surua ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu zaidi ya 3,600. Audio Credit Arnold Kayanda/ Flora Nducha Audio Duration 2'48" Photo Credit © UNICEF/Marixie Mercado surua DRC UNICEF WHO