Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Siku ya wazee, hali ya wazee Uganda yamulikwa

Siku ya wazee, hali ya wazee Uganda yamulikwa

Pakua

Leo Oktoba Mosi ni siku ya wazee duniani ambapo mwaka huu kauli mbiu ni “safari ya kuzeeka kwa usawa” kwa kutambua kwamba malengo ya maendeleo endelevu, SDGs yatafikiwa pale tu watu wa umri wote wamejumuishwa.

Audio Credit
Arnold Kayanda/ John Kibego
Audio Duration
2'42"
Photo Credit
Picha ya UN