Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

26 Septemba 2019

26 Septemba 2019

Pakua

Wanawake wanahitajika zaidi katika tasnia ya ubaharia kama ilivyo tasnia nyingine, linasema shirika la kimataifa la shughuli za usafirishaji wa majini IMO. Elimu, ujumuishwaji na mabadiliko ya tabianchi ni baadhi vya vipaumbele vya Kenya asema Rais Uhuru Kenyatta. Na Profesa Antoine Kiamiantako Miyamueni, mdadhiri wa masuala ya uchumi katika chuo kikuu cha Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ( DRC)  amesema ushirikiano baina ya vyuo vikuu utasaidia kuinua elimu Afrika.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
10'27"