Tutafanya kila tuwezalo kutimiza huduma za afya kwa wote:Sicily Kariuki
Pakua
Ili serikali ya Kenya ifanikishe utimizaji wa malengo ya maendeleo endelevu au SDG’s ifikapo mwaka 2030 ni lazima huduma za afya kwa wote zipatikane kuhakikisha nguvu kazi imara ya kusongesha mbele mchakato huo, amesema waziri wa afya wa nchi hiyo.
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
2'34"