Kila mtu duniani anawajibika kutekeleza SDGs:Dkt. Philip Mpango
Pakua
Waziri wa fedha na mipango wa Tanzania, Dkt Philip Mpango ametoa wito wa jumuiya nzima ya kimataifa kuwajibika kwa pamoja ili kutekeleza malengo ya maendeleo endelevu SDGs kwani ili lengo moja litimie katika nchi moja, pia linahitaji uwajibikaji wa nchi nyingine.
Audio Credit
UN News/Arnold Kayanda
Sauti
2'47"