Maoni ya wakazi wa Hoima Uganda kuhusu huduma ya afya
Pakua
Wakati viongozi wa dunia wamepitisha azimio la kisiasa la kuhakikisha huduma ya afya kwa wote inapatikana kwa kila mkazi wa dunia ifikapo mwaka 2030, nchini Uganda mwandishi wetu John Kibego amevinjari katika maeneo ya Hoima ili kuweza kupata maoni ya wananchi kuhusu huduma hiyo adhimu.
Audio Credit
John Kibego
Audio Duration
2'43"