Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Amani ni zaidi ya kutokuwepo kwa vita- Guterres

Amani ni zaidi ya kutokuwepo kwa vita- Guterres

Pakua

Kuelekea siku ya kimataifa ya amani ambayo huadhimishwa kila mwaka Septemba 21, leo katika maadhimisho kwenye Umoja wa Mataifa Katibu Mkuu wa Umoja huo, Antonio Guterres ametoa wito wa hatua madhubuti kuchukuliwa kukabiliana na changamoto kubwa za dunia ikiwemo mabadiliko ya tabianchi ili kudumisha amani kwa wote. 

Audio Credit
Assumpta Massoi/Flora Nducha
Audio Duration
3'12"
Photo Credit
UN News/May Yaacoub