Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Matarajio ya wiki ya mjadala mkuu wa Baraza Kuu na Balozi Mero

Matarajio ya wiki ya mjadala mkuu wa Baraza Kuu na Balozi Mero

Pakua

Katika kuelekea wiki ya vikao vya mjadala mkuu wa Baraza Kuu vitakavyowakutanisha viongozi wa dunia katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York Marekani, tunaye Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Modest Mero kuchambua yatakayojiri.

Audio Credit
Arnold Kayanda/ Modest Mero
Audio Duration
5'11"
Photo Credit
UN Photo/Amanda Voisard