Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Swali la mwanamke aliyebakwa na wanaume 17 ni ishara ya hatua zinazohitajika

Swali la mwanamke aliyebakwa na wanaume 17 ni ishara ya hatua zinazohitajika

Pakua

Mmoja wa wanawake waliobakwa mara kadhaa na magenge ya wahalifu huko Sudan Kusini amehoji ni hatua gani zitachukuliwa na kamisheni hiyo na jamii ya kimataifa ili kumnusuru yeye na wanaweke wengine waliokumbwa na madhila kama hayo huko Bentiu.

Audio Credit
Assumpta Massoi/ Arnold Kayanda
Audio Duration
1'50"
Photo Credit
UNICEF/Sebastian Rich