Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Umoja wa Mataifa waungana na dunia kuadhimisha siku ya kulinda tabaka la ozoni

Umoja wa Mataifa waungana na dunia kuadhimisha siku ya kulinda tabaka la ozoni

Pakua

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema dunia inapojikita katika kupambana na mabadiliko ya tabianchi basi isipuuze tabaka la Ozoni na kuwa na tahadhari ya tishio kubwa linalosababishwa na matumizi haramu ya gesi zinazotoboa tabaka la Ozoni au chlorofluorocarbons.“utambuzi wa hivi karibuni wa utoaji wa moja ya gesi hizo (CFC-11) unatukumbusha kwamba tunahitaji kuendelea na mifumo ya kufuatilia , kutoa taarifa, kuboresha na kuchukua hatua.”

Audio Credit
Assumpta Massoi/ Grace Kaneiya
Audio Duration
2'22"
Photo Credit
Photo: UNEP