UNESCO yaonya kuwa bila hatua za haraka watoto milioni 12 hawatowahi kutia mguu shuleni
Pakua
Takwimu mpya zilizochapishwa leo na kitengo cha takwimu cha shirika la Umoja wa Mataifa la elimu , sayansi na utamaduni UNESCOkuhusu Watoto wasiohudhuria shule zinaonyesha kwamba hakuna hatua yoyote iliyopigwa au kuna hatua ndogo sana ilipyopigwa kwa zaidi ya muongo mmoja.
Audio Credit
Arnold Kayanda
Sauti
2'48"