Kenya yazidua chanjo ya malaria, ugonjwa unaoua mtoto mmoja kila baada ya dakika mbili 13 Septemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la afya duniani WHO limeipongeza serikali ya Kenya kwa kuzindua leo chanjo ya kwanza duniani dhidi ya malaria katika Kaunti ya Homa Bay, magharibi mwa Kenya. Audio Credit Brenda Mbaitsa Audio Duration 2'31" Photo Credit © UNICEF/Arjen van de Merwe Malaria Kenya