Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kenya yazidua chanjo ya malaria, ugonjwa unaoua mtoto mmoja kila baada ya dakika mbili

Kenya yazidua chanjo ya malaria, ugonjwa unaoua mtoto mmoja kila baada ya dakika mbili

Pakua

Shirika la afya duniani WHO limeipongeza serikali ya Kenya kwa kuzindua leo chanjo ya kwanza duniani dhidi ya malaria katika Kaunti ya Homa Bay, magharibi mwa Kenya. 

Audio Credit
Brenda Mbaitsa
Audio Duration
2'31"
Photo Credit
© UNICEF/Arjen van de Merwe