Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mchango wa wanahabari katika amani ni mkubwa:UN

Mchango wa wanahabari katika amani ni mkubwa:UN

Pakua

Wandishi wa habari ni wadau muhimu katika mchakato wa kurejesha amani katika ukanda wa Mashariki ya Kati ambako mzozo umesambaratisha uchumi na harakati za kibinadamu, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataiaf, Antonio Guterres.

Audio Credit
UN news/John Kibego
Audio Duration
1'29"
Photo Credit
UNESCO/C.Darmouni