Hali ya chakula Sudan Kusini bado ni mtihani:UN 11 Septemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Zaidi ya nusu ya watu wote nchini Sudan Kusini hawana uhakika wa chakula licha ya juhudi ha hatua zilizopigwa yamesema mashirika ya Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, la mpango wa chakula WFP na la chakula na kilimo FAO. Audio Credit UN News/ John Kibego Audio Duration 2'4" Photo Credit FAO/Giulio Napolitano FAO WFP UNICEF uhakika wa chakula sudan kusini amani utapiamlo